Mtumishi wa Mungu Cuthbert ndiye aliyekuwa Mwalimu wa Sunday School |
unanielewa ,hapa mtumishi wa Mungu Mwl.Cuthbert Mwaibela akiongea na kanisa wakati wa kipindi cha Sunday School |
Timu ya waitikiaji |
Kwa vyovyote ile lazima nimwimbie Mungu wangu,Mtumishi wa Mungu Ruben akimsifu Mungu |
Kwaya ya kanisa ikihudumu |
Mch.Lugano akisisitiza jambo |
Lazima tumwabudu Mungu wetu,Mchungaji kiongoji akiongoza kanisa kwenye kumwabudu Mungu |
Mpiga Drums Davies akimtumikia Mungu |
Nafuatilia kwa ukaribu zaidi ndani ya Biblia |