Pia ilikuwa ni siku maalum ya kumkaribisha Mchungaji Mathayo Henry ambaye ni mchungaji msaidizi wa kanisa hilo baada ya kurejea kutoka kwenye harusi yake .Fuatana nami katika kukuletea matukio hayo katika picha
Mtumishi wa Mungu Hokororo Alihudumi siku hiyo |
ULIFIKA WAKATI WA KUWACHAGUA VIONGOZI
Pichani ni Mchungaji Mathayo Henry ambaye ndiye aliyesimamia uchaguzi huo |
Uchaguzi ukiendelea |
Watumishi wa Mungu wako makini kufuatilia uchaguzi huo |
Mmoja wa viongozi waliochaguliwa katika uchaguzi huo |
Mungu akutangulie katika utumishi ulioitiwa |
Kiti moto jielezeni mbele ya kusanyiko NA SASA NI WAKATI WA KUMKARIBISHA MCH.MATHAYO |
Mchungaji na Mama Mchungaji wakiingia |
MC wa shughuli hiyo na pia ni MC katika shughuli mbalimbali za Kimungu akisema mawili matatu |
Mchungaji alisema machache |
Hongera Baba |
Hongera Mtumishi wa Mungu |
Wamama wa EAGT PARADISE wakielekea kumpongeza Mchungaji |
Hongereni kweli Mungu ni Mwema |
No comments:
Post a Comment
Andika maoni yako hapa
Note: Only a member of this blog may post a comment.