Ni neema nyingine ambayo Mungu Mwenye enzi ametupatia Paradise,
Mungu alisema na Mtumishi Wake Mchungaji Kiongozi Lugano Mwakisole juu ya maombi ya siku 7 kwa kanisa na juu ya ujenzi wa hema yake.
Maombi hayo yalianza Tar 30/06/2014 na yatamalizika tar 6/07/2014 Usiku.
Mungu ni wa ajabu sana kupitia maombi hayo kuna mambo mengi Mungu amefanya kwa mtu mmoja mmoja na kwa kanisa kwa ujumla.Tunaendelea kumtukuza Mungu maana ameonekana Paradise.
Hizi ni sehemu za Picha za wanajeshi wa Yesu walioshiriki katika mkesha huo.
No comments:
Post a Comment
Andika maoni yako hapa
Note: Only a member of this blog may post a comment.