HABARI NA MATUKIO


SIKU SABA ZA MAOMBI YA VITA TAR 31.6.2014-6.7.2014

1.Mikesha ya Usiku





2.Ibada ya Jumamosi 5.7.2014

















3.Ibada ya Jumapili,Hitimisho la Maombi
Mtumishi wa Mungu Mchungaji Mecky akihubiri kwenye Shule ya Jumapili(Sunday School)

Kipindi cha Sifa Kiliongozwa na Mchungaji Reuben

Timu ya Kusifu na Kuabudu

Kwa Mungu Hakuna Mzee ni Mtumishi wa Mungu ambaye hutubariki kila anaposimama na kumsifu Mungu





Mwinjilisti Joshua akihudumu Ibada ya Asubuhi 



Wachungaji waliokuwepo kwenye ibada hiyo,Katikati ni Mchungaji Kiongozi Lugano Mwakisole,Upande wa Kuume ni mwinjilist kutoka Morogoro Mwinjilist Joshua Malundo,na Upande wa Kulia ni Mchungaji Kobelo



Mchungaji Kobelo alihudumu ibada ya Jioni

Ni wakati wa Maombi Ibada ya Jioni

-----------------------------------------------------------------------------------------------------------------------


SEMINA YA NENO LA MUNGU

No comments:

Post a Comment

Andika maoni yako hapa

Note: Only a member of this blog may post a comment.