Friday, November 22, 2013

MKUTANO WA INJILI MBAGALA KICHEMCHEM 16.11.2013

Ni agizo la Bwana Yesu kuihubiri injili na kuwafanya watu wote kuwa wanafunzi wa Yesu.
Kanisa la Eagt Paradise Praise Centre siku ya Jumamosi Tar.16.11.2013 liliendesha mkutano wa Injili Eneo la Mbagala Kichemchem.
Katika Mkutano huo Mungu alionekana na watu wengi wenye vifungo mbalimbali bwana Yesu aliwafungua 






Tunakuletea baadhi ya Picha za matukio katika mkutano huo


Kwaya ya Kanisa la Eagt Praise Centre wakihudumu kwenye mkutano


Kwaya ya wamama wa Eagt Paradise Praise Centre wakihudumu 


Kwa Mungu hakuna mzee,ni mama mtu mzima ambaye hata kwenye uzee wake bado anamtumikia Mungu akihudumu kwa njia ya uimbaji kwenye mkutano huo

Mtumishi wa Mungu Davies akihudumu kwa njia ya uimbaji

Ukiwa na Yesu kweli raha,hapa mtumishi wa Mungu Mwinjilisti Paul akicheza 

Mchungaji Kiongozi wa Kanisa la Eagt Paradise Praise Centre,Mch.Lugano Mwakisole akiangalia watenda kazi kwenye mkutano huo uliofanyika Kichemchem Mbagala


Mwinjilisti Timothy Mwansasu akihubiri katika mkutano huo


Na zamu ya Mwinjilisti Isaya ilifika na yeye alileta lile kusudi la Mungu



Ni baadhi ya watu waliohudhuria mkutano huo















No comments:

Post a Comment

Andika maoni yako hapa

Note: Only a member of this blog may post a comment.