Monday, November 25, 2013

IBADA YA JUMAPILI 24.08.2013

Biblia ina sema tusiache kukutanika,Jumapili Tar 24.13.2013 Katika kanisa la EAGT Paradise Praise Centre ilifanyika ibada ya kumwinua na kumtuka Mungu.
Ibada iliongozwa na Mchungaji Kiongozi Lugano Mwakisole na ikiwa ni muendelezo wa ibada za Kufanywa Upya.

Tunakuletea matukio ya ibada hiyo katika picha

1.KIPINDI CHA SIFA


Kiongozi wa Sifa katika ibada hiyo Mtumishi wa Mungu Reuben Akiongoza kusanyiko kumsifi Mungu

Wapiga vyombo wakimtukuza Mungu wakati wa kipindi cha Sifa






Mtumishi wa Mungu Anthony ambaye ni mgeni kutoka Arusha alitembelea EAGT Paradise Praise Centre naye alipata nafasi kumwimbia Mungu wetu


Mama huyu hata katika uzee wake bado anatumikia Mungu na yeye anasema Kwa Mungu hakuna Mzee

Kwaya ya Kanisa nayo haikuwa nyuma ili mradi Mungu ainuliwe

Watumishi wa Mungu wakimtumikia Mungu

2.KIPINDI CHA KUABUDU
Kilifika kipindi cha Kumwabudu Mungu wetu

Yafaa kumwabudu Mungu maana hakuna kama yeye

3.MAHUBIRI

Mchungaji Kiongozi Lugano Mwakisole akileta kusudi la Mungu mbele ya watumwa wa Mungu




HATA WEWE UNAKARIBISHWA KWENYE IBADA ZETU ZINAZOANZA KILA JUMAPILI SAA 1.OO ASUBUHI



No comments:

Post a Comment

Andika maoni yako hapa

Note: Only a member of this blog may post a comment.