Tuesday, October 22, 2013

YALIYOJIRI KATIKA IBADA YA JUMAPILI 20.10.2013 KATIKA PICHA


KIPINGI CHA SIFA

Mtumishi wa Mungu Reuben akiongoza kipindi cha Sifa
Kumtumikia Mungu hakuna mipaka ni mtumishi wa Mungu kutoka Arusha

Kwa Yesu Kunalipa


Mtumishi wa Mungu kutoka mito ya Baraka alikuwepo kumsifu Mungu
Ilifika zamu ya Kwaya ya Kanisa la Paradise kumsifu na kumwimbia Mungu

Mtumishi wa Mungu Mwimbaji binafsi kutoka kanisa la Paradise Mchopa akimwimbia Mungu





Kwaya ya wamama wa Paradise nayo haikuwa nyuma kumwimbia Mungu




WAKATI WA MAHUBIRI YA NENO LA MUNGU

Mtumishi wa Mungu Mchungaji Lugano Akihubiri Neno la Mungu





WAKATI WA MAOMBI NA MAOMBEZI

Baadhi ya washirika wa EAGT Paradise wakiwa kwenye Maombi




Mtumishi wa Mungu Joseph akitenda kazi









No comments:

Post a Comment

Andika maoni yako hapa

Note: Only a member of this blog may post a comment.