Sunday, January 26, 2014

IBADA YA JUMAPILI TAR 26.01.2014 KATIKA PICHA


Mtumishi wa Mungu Cuthbert ndiye aliyekuwa Mwalimu wa Sunday School 



unanielewa ,hapa mtumishi wa Mungu Mwl.Cuthbert Mwaibela akiongea na kanisa wakati wa kipindi cha Sunday School



Timu ya waitikiaji


Kwa vyovyote ile lazima nimwimbie Mungu wangu,Mtumishi wa Mungu Ruben akimsifu Mungu

Kwaya ya kanisa ikihudumu

Mch.Lugano akisisitiza jambo


Lazima tumwabudu Mungu wetu,Mchungaji kiongoji akiongoza kanisa kwenye kumwabudu Mungu

Mpiga Drums Davies akimtumikia Mungu

Nafuatilia kwa ukaribu zaidi ndani ya Biblia


No comments:

Post a Comment

Andika maoni yako hapa

Note: Only a member of this blog may post a comment.