Saturday, February 22, 2014

IBADA YA SIFA NA KUABUDU ILIYOFANYIKA 2.2.2014 KATIKA PICHA

Mmoja wa waimbaji wa Peace Band


Sehemu ya waliohudhuria ibada hiyo ya Kusifu na Kuabudu





Praise Team

Mchungaji Kiongozi Lugano Mwakisole akizungumza na kanisa


Kiongozi wa Sifa Reuben akiongoza kusanyiko katika kumwabudu Mungu








Hapa vilikuwa vinapigwa viduku vya nguvu,kama Mungu amekupa Afya na kila kiungo kiko sawa basi ni vizuri kumsifu Mungu kwa viungo alivyokupa







Kwaya ya Kanisa nayo ilikuwepo kumsifu na kumwabudu Mungu









No comments:

Post a Comment

Andika maoni yako hapa

Note: Only a member of this blog may post a comment.