Thursday, January 9, 2014

IBADANI JUMAPILI YA KWANZA YA MWAKA 2014

Wanakwaya wa Kwaya ya Eagt Paradise Praise Centre wakimsifu Mungu

Mtumishi wa Mungu Kutoka Morogoro alikuwa Baraka kubwa sana kwenye ibada hiyo na wiki hiyo kwa ujumla

Mtumishi wa Mungu akiweka sawa jambo


Mtumishi wa Mungu Mwinjilisti Timothy Mwansasu akisoma neno la Mungu kwenye Ibada hiyo







Mungu ni mwema kila wakati Ndugu yetu Mtumishi wa Mungu Hokororo kutoka EAGT Temeke naye alikuja kusalimia na kuangalia jinsi kazi ya Mungu inavyosonga mbele


Palipo na Eliya na Elisha pia alikuwepo huyu ni ndugu yetu aliyeambatana na Mtumishi wa Mungu Kigosi


Baada ya Ibada Vijana wakijadili mambo mbalimbali ya kuweza kuusimamisha ufalme wa Mungu


No comments:

Post a Comment

Andika maoni yako hapa

Note: Only a member of this blog may post a comment.