Sunday, January 5, 2014

SEMINA YA VIONGOZI YAFANYIKA KWA MAFANIKIO MAKUBWA

Semina ya Viongozi iliyoendeshwa na mtumishi wa Mungu Kigosi kutoka Morogoro ilikuwa ya mafanikio makubwa na Mungu alionekana katika semina hiyo.Tunakuletema baadhi ya picha za kwenye semina hiyo
Mtumishi wa Mungu Kigosi ndiye aliyekuwa Mwalimu katika semina hiyo




Mtumishi wa Mungu Kigosi akisisitiza jambo







Washiriki wa semina hiyo wakiwa makini kuandika vile vitu ambayo mtumishi wa Mungu Kigosi alivyokuwa akiviachilia

Kila mmoja yuko makini sana kusikiliza

No comments:

Post a Comment

Andika maoni yako hapa

Note: Only a member of this blog may post a comment.