Monday, May 19, 2014

IBADA YA JUMAPILI 18.5.2014

Ibada ya jumapili 18.5.2014 iliongozwa na Mtumishi wa Mungu Timothy Mwansasu
Ujumbe katika ibada hiyo ulikuwa ni MAMBO YOTE UNAYOYAOGOPA YAONDOKE KWAKO
Neno lilitoka katika kitabu cha Samweli 1
1samweli 7:1-12
hapa tunasoma habari za mfalme Hezekia na kupewa taarifa juu ya kifo chake na Nabii wa Mungu Samweli.
Mtumishi wa Mungu Mwansasu alisema wakristo wengi wa leo si kama mfalme Hezekia,alipopata habari kutoka kwa Nabii wa Mungu kuwa atakufa,yeye hakutaka kusema na Nabii,kwa kuwa alimjua Mungu.
Alichokifanya aligeukia ukutani akalia sana na ndipo Mungu akasikia kilio chake na kumuongezea miaka kumi na tano zaidi ya kuishi.
Mtumishi Mwansasu alisema kuna jambo gani ambalo ni gumu sana mbele yako.Lipeleke kwa Mungu na hata kama lilikuwa likioneka gumu kiasi gani mbele yake hakuna gumu.
Alisisitiza kusanyiko kuwa watu wa Maombi ,maana kwa maombi pekee unaweza kuyashinda magumu

Zifuatazo ni baadhi ya picha kwenye ibada hiyo

Mtumishi wa Mungu Akili akiongoza Maombi ya kufungua Ibada

KIPINDI CHA SIFA
Mtumishi Timothy Mwansasu akiongoza kusanyiko kuimba nyimbo za TENZI ZA ROHONI



Kusanyiko

Mtumishi wa Mungu Joseph Sambai akimwimbia Mungu

Dada Teddy naye aliimba wakati wa kipindi cha sifa

Huyu ni Mtumishi wa Mungu Davies 
Kwaya ya kanisa 



Mama Mchungaji akisema na kusanyiko

WAKATI WA NENO LA MUNGU

Mtumishi wa Mungu Mwansasu akifundisha neno la mungu kwenye Ibada hiyo



WAKATI WA MAOMBEZI















No comments:

Post a Comment

Andika maoni yako hapa

Note: Only a member of this blog may post a comment.