Thursday, May 15, 2014

IBADA YA JUMAPILI 11.5.2014 PAMOJA NA IBADA YA SIFA ILIYOFANYIKA JIONI

Mungu bado ni mwema katikati ya Paradise,Pamoja na kazi kubwa ya kumjengea Mungu Hekalu .
Lakini kusudi la la kufanya Ibada za sifa na Kuabudu litabakia pale pale,Tar 11.5.2014 Kulikuwa na Ibada ya kusifu na kuabudu ,Hizi ni baadhi ya picha na ibada ya Asubuhi pamoja na Ibada ya Kusifu na Kuabudu inayofanyika  kila jumapili ya mwanzo wa mwezi.

IBADA YA ASUBUHI:

Kiongozi wa Sifa wa siku hiyo Mtumishi wa Mungu Timothy Mwansasu akiongoza kusanyiko kuimba nyimbo za Tenzi za rohoni katika kipingi cha sifa cha ibada ya Asubuhi

Mtumishi wa Mungu Ruben Akiongoza Kusanyiko katika kusifu

Wapiga vyombo watumishi wa Mungu Eddy na Enosh wakitumika

Kwaya ya kanisa Paradise Choir

Praise Team


Praise Team



BAADA YA IBADA WAMAMA WA PARADISE WALIMTEGEMEZA MCHUNGAJI
Wamama wakiwa na Saadaka zao tayari kuzitoa kwa Mtumishi wa Mungu












IBADA YA SIFA JIONI



Hata Mchungaji pia alisimama na kumsifu Mungu




Ilifika wakati watu walishindwa kukaa kwenye viti na waliinuka na kumchezea Mungu wao

Praise Team

Kiongozi wa Ibada ya Kusifu na Kuabudu Mama Mchungaji akiongea

Mtumishi wa Mungu Irene Mwakajila akimuimbia Mungu kwenye ibada hiyo ya Sifa 


Huyu ni Mtumishi wa Mungu Majaliwa akiimba "Kwa msaada wa Roho tunashinda yote ya Dunia"

No comments:

Post a Comment

Andika maoni yako hapa

Note: Only a member of this blog may post a comment.