Biblia ina sema tusiache kukutanika,Jumapili Tar 24.13.2013 Katika kanisa la EAGT Paradise Praise Centre ilifanyika ibada ya kumwinua na kumtuka Mungu.
Ibada iliongozwa na Mchungaji Kiongozi Lugano Mwakisole na ikiwa ni muendelezo wa ibada za Kufanywa Upya.
Tunakuletea matukio ya ibada hiyo katika picha
1.KIPINDI CHA SIFA
 |
Kiongozi wa Sifa katika ibada hiyo Mtumishi wa Mungu Reuben Akiongoza kusanyiko kumsifi Mungu |
 |
Wapiga vyombo wakimtukuza Mungu wakati wa kipindi cha Sifa
|
 |
Mtumishi wa Mungu Anthony ambaye ni mgeni kutoka Arusha alitembelea EAGT Paradise Praise Centre naye alipata nafasi kumwimbia Mungu wetu |
 |
Mama huyu hata katika uzee wake bado anatumikia Mungu na yeye anasema Kwa Mungu hakuna Mzee |
 |
Kwaya ya Kanisa nayo haikuwa nyuma ili mradi Mungu ainuliwe |
 |
Watumishi wa Mungu wakimtumikia Mungu |
2.KIPINDI CHA KUABUDU
 |
Kilifika kipindi cha Kumwabudu Mungu wetu |
 |
Yafaa kumwabudu Mungu maana hakuna kama yeye |
3.MAHUBIRI
 |
Mchungaji Kiongozi Lugano Mwakisole akileta kusudi la Mungu mbele ya watumwa wa Mungu |
HATA WEWE UNAKARIBISHWA KWENYE IBADA ZETU ZINAZOANZA KILA JUMAPILI SAA 1.OO ASUBUHI