Tuesday, October 22, 2013

YALIYOJIRI KATIKA IBADA YA JUMAPILI 20.10.2013 KATIKA PICHA


KIPINGI CHA SIFA

Mtumishi wa Mungu Reuben akiongoza kipindi cha Sifa
Kumtumikia Mungu hakuna mipaka ni mtumishi wa Mungu kutoka Arusha

Kwa Yesu Kunalipa


Mtumishi wa Mungu kutoka mito ya Baraka alikuwepo kumsifu Mungu
Ilifika zamu ya Kwaya ya Kanisa la Paradise kumsifu na kumwimbia Mungu

Mtumishi wa Mungu Mwimbaji binafsi kutoka kanisa la Paradise Mchopa akimwimbia Mungu





Kwaya ya wamama wa Paradise nayo haikuwa nyuma kumwimbia Mungu




WAKATI WA MAHUBIRI YA NENO LA MUNGU

Mtumishi wa Mungu Mchungaji Lugano Akihubiri Neno la Mungu





WAKATI WA MAOMBI NA MAOMBEZI

Baadhi ya washirika wa EAGT Paradise wakiwa kwenye Maombi




Mtumishi wa Mungu Joseph akitenda kazi









Monday, October 21, 2013

IBADA YA JUMAMOSI 19.10.2013 KATIKA PICHA

Katika siku ya Jumamosi tar 19.10.2013,kulifanyika ibada ya kumtukuza Mungu katika kanisa la EAGT Paradise.

Ibada hiyo ilikuwa ni maalum kwa ajili ya maombi ya UAMSHO WA KANISA LA MUNGU.

Nguvu za Mungu zilitembea sana na walihudhuria walishuhudia kuwa kweli wamekutana na nguvu za Mungu.

Tunakuletea matukio katika picha.

Maandalizi ya kipindi cha sifa
Mtumishi wa Mungu Reuben akiongoza kipindi cha sifa


Mchungaji kiongozi wa Kanisa la EAGT Paradise akihubiri katika ibada hiyo
Neno la Mungu ni nguzo katika kila kitu Mchungaji Lugano akisoma maneno ya Mungu kutoka katika Biblia Takatifu